Nilimtafuta BWANA naye akanijibu,
akaniokoa kwenye hofu zangu zote.
Wale wamtazamao hutiwa nuru,
nyuso zao hazifunikwi na aibu kamwe.
6Maskini huyu alimwita BWANA akamsikia,
akamwokoa katika taabu zake zote.
Zaburi 34:4-6
Advertisements
Nilimtafuta BWANA naye akanijibu,
akaniokoa kwenye hofu zangu zote.
Wale wamtazamao hutiwa nuru,
nyuso zao hazifunikwi na aibu kamwe.
6Maskini huyu alimwita BWANA akamsikia,
akamwokoa katika taabu zake zote.
Zaburi 34:4-6